TANGAZO LA ZABUNI NA. AAM/EQT/DOM/02/2024

TANGAZO LA ZABUNI NA. AAM/EQT/DOM/02/2024 YA UUZAJI WA DHAMANA ZA WADAIWA WA EQUITY BANK (TANZANIA) LIMITED

Kwa maelekezo tuliyopewa na mteja wetu Equity Bank (Tanzania) Limited Makao Makuu Ohio Street, Golden Jubilee Tower, Third Floor, S.L.P 110183 Dar Es Salaam, Tunauarifu umma kwamba tutauza kwa zabuni, nyumba za wadaiwa wa benki hiyo kama ilivyoanishwa hapa chini:-

Loti: Loti No. 1
Aina ya Dhamana/Mali: Landed Property
Maelezo ya Dhamana / Mahali Ilipo: Nyumba Makazi iliyopo kiwanja Na. 77, CT Na.24204 - DLR, LO Na. 96253 / 18844, Kitalu 'B' Eneo la Chichadi East, Manispaa ya Dodoma.


VIGEZO NA MASHARTI YA ZABUNI
1. Waombaji wanaotaka kununua mali tajwa wanashauriwa kupata taarifa Zaidi za mali hiyo kutoka ofisi ya Adili Auction Mart Limited iliyopo Nyumba Na. 53, Kiwanja Na. 151, Kitalu 45C Kijitonyama, Eneo la Makumbusho, Dar Es Salaam.

2. Ukaguzi na wa dhamana husika utafanywa na wazabuni wenye nia ya kununua kabla ya kuwasilisha zabuni zao kuanzia tarehe ya tangazo hili mpaka siku ya kufungua zabuni.

3. Nyaraka za zabuni zinapaswa kuwa katika bahasha isiyo na rangi na jalada la nje limeandikwa Zabuni Na. AAM/EQT/DOM/02/2024 ya ununuzi wa dhamana za wadaiwa wa Equity Bank (Tanzania) Limited, ikileleza nambari ya loti na kuwasilishwa kwenye ofisi ya Adili auction Mart Limited.

4. Tarehe ya mwisho ya kuwasilisha zabuni itakua alhamisi tarehe 12/09/2024 saa 4 kamili asubuhi na kufunguliwa siku hiyo hiyo mbele ya wazabuni au wawakilishi wote saa nne asubuhi kwenye ofisi ya Adili Auction Mart Limited.

5. Zabuni Zitakazotumwa kwa njia ya telegraph, faksi, barua pepe au kuwasilishwa nje ya muda hazitapokelewa.

6. Equity Bank (Tanzania) Limited ina haki ya kupokea au kukataa zabuni yoyote na haina wajibu wa kueleza sababu za kupokea au kukataa zabuni yoyote.

7. Mshindi wa Zabuni lazima alipe angalau 25% ya bei ya zabuni ndani ya saa 48 baada ya kujulishwa kuwa mshindi wa zabuni, Asilimia 75 iliyobaki lazima ilipwe ndani ya siku kumi na nne (14) tangu siku ya malipo ya awamu ya kwanza.

8. Iwapo mshindi atashindwa kulipa salio la 75% iliyobaki ya kiasi cha zabuni ndani ya muda uliowekwa, kiasi kilichowekwa kitatwaliwa na mali itauzwa tena kwa zabuni mpya baada ya tangazo jipya kutolewa.

9. Mali inauza kwa misingi ya “Kama ilivyo na mahali ilipo”.


KWA MAELEZO ZAIDI, TAFADHALI PIGA SIMU YOYOTE KATI YA ZIFUATAZO
0767 873 988 / 0744 149 080 / 0782 031 111 / 0716 651 103
E-MAIL: info@adiliauction.co.tz

TANGAZO LA MNADA – KINONDONI

Kwa idhini tuliyopewa na EQUITY BANK TANZANIA LIMITED tutauza kwa mnada wa hadhara mali/dhamana za wadaiwa kuanzia tarehe tajwa na kuendelea kama ilivyoelezewa.

Jina la Mdaiwa: Harriet Mwandiko - Mdhamini JFL Pharmacy
Dhamana/Mali: Kiwanja No. 8, Kitalu 'K' C.T. No. 158030, L.O No. 528890
Date/Time: 13/09/2024 Saa 4:00 Asubuhi na kuendelea

MASHARTI YA MNADA
1. Mnunuzi anatakiwa kulipia asilimia 25% ya bei itakayofikiwa siku ya mnada na salio la asilimia 75% kulipa ndani ya siku kumi na nne (14) kuanzia siku ya mnada.

2. Mnunuzi akishindwa kulipa salio la asilimia 75% ndani ya siku kumi na nne (14) atakua amepoteza haki zote Pamoja na asilimia 25% na mnada utarudiwa tena.

3. Nyumba zinaweza kukaguliwa kuanzia tarehe ya tangazo hili mpaka siku ya mnada.

4. Mnunuzi atatakiwa kubadili hati ya kumiliki mali aliyonunua na kulipa kodi zote stahiki.

5. Nyumba zitauzwa mahali na kama zilivyo.

Kwa mawasiliano zaidi: 0716 515 445 / 0714 497 736
info@adiliauction.co.tz

DALALI HANA BEI, BEI UNAYO WEWE MTEJA.

TANGAZO LA MNADA WA HADHARA – MBEZI LUIS

Kwa idhini tuliyopewa na EQUITY BANK TANZANIA LIMITED tutauza kwa mnada wa hadhara mali/dhamana za wadaiwa kuanzia tarehe tajwa na kuendelea kama ilivyoelezewa.

Jina la Mdaiwa: Judith Alexander Kitally
Dhamana/Mali: Kiwanja No. P11573 DSM 1006955, Mbezi Luis- Ubungo, Dar Es Salaam, Tanzania
Date/Time: 13/09/2024 Saa 7:00 Mchana na kuendelea

MASHARTI YA MNADA
1. Mnunuzi anatakiwa kulipia asilimia 25% ya bei itakayofikiwa siku ya mnada na salio la asilimia 75% kulipa ndani ya siku kumi na nne (14) kuanzia siku ya mnada.

2. Mnunuzi akishindwa kulipa salio la asilimia 75% ndani ya siku kumi na nne (14) atakua amepoteza haki zote Pamoja na asilimia 25% na mnada utarudiwa tena.

3. Nyumba zinaweza kukaguliwa kuanzia tarehe ya tangazo hili mpaka siku ya mnada.

4. Mnunuzi atatakiwa kubadili hati ya kumiliki mali aliyonunua na kulipa kodi zote stahiki.

5. Nyumba zitauzwa mahali na kama zilivyo.

Kwa mawasiliano zaidi: 0716 515 445 / 0714 497 736
info@adiliauction.co.tz

DALALI HANA BEI, BEI UNAYO WEWE MTEJA.

TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

Kwa idhini tuliyopewa na NMB Bank Plc tutauza kwa mnada wa hadhara mali/dhamana za wadaiwa kuanzia tarehe tajwa na kuendelea kama ilivyoelezewa.

Jina la Mdaiwa: Elias Kelela Wadutya
Dhamana/Mali: " Legal Mortgage over commercial/residential property located on plot No. 308 Block 'A' Igulwa Bukombe District
Date/Time: 15/08/2024 Saa 4:00 Asubuhi na kuendelea

Jina la Mdaiwa: Elias Kelela Wadutya
Dhamana/Mali: " Legal Mortgage over commercial/residential property located on plot No. 372 Block 'A' Igulwa Bukombe District
Date/Time: 15/08/2024 Saa 4:00 Asubuhi na kuendelea

Jina la Mdaiwa: Elias Kelela Wadutya
Dhamana/Mali: " Legal Mortgage over commercial property with specific use(shop) located on plot No. 374 Block 'A' Igulwa Bukombe District
Date/Time: 15/08/2024 Saa 4:00 Asubuhi na kuendelea

Jina la Mdaiwa: Elias Kelela Wadutya
Dhamana/Mali: " Legal Mortgage over commercial property with specific use(shop) located on plot No. 376 Block 'A' Igulwa Bukombe District
Date/Time: 15/08/2024 Saa 4:00 Asubuhi na kuendelea

Jina la Mdaiwa: Elias Kelela Wadutya
Dhamana/Mali: " Legal Mortgage over commercial property with specific use(guest house) located on plot No. 378 Block 'A' Igulwa Bukombe District
Date/Time: 15/08/2024 Saa 4:00 Asubuhi na kuendelea

Jina la Mdaiwa: Elias Kelela Wadutya
Dhamana/Mali: " Legal Mortgage over commercial property with specific use(godown) located on plot No. 310 Block 'A' Igulwa Bukombe District
Date/Time: 15/08/2024 Saa 4:00 Asubuhi na kuendelea

Jina la Mdaiwa: Elias Kelela Wadutya
Dhamana/Mali: " Legal Mortgage over residential property located on plot No. 209 Block 'A' Ushirombo Township Bukombe District
Date/Time: 15/08/2024 Saa 4:00 Asubuhi na kuendelea

Kwa mawasiliano zaidi: 0716 515 445 / 0714 497 736
info@adiliauction.co.tz

DALALI HANA BEI, BEI UNAYO WEWE MTEJA.